Jana ilikuwa siku njema sana baada ya mwanasiasa ambaye yayumkinika kumtaja kama “mtu anayechukiwa zaidi kuliko Mtanzania mwingine yeyote yule,” Albert Bashite, alipoangushwa katika kinyang'anyiri cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa CCM katika jimbo la Kigamboni.